• Login
    • Login
    Advanced Search
    View Item 
    •   Maseno IR Home
    • Journal Articles
    • School of Arts and Social Sciences
    • Department of Kiswahili & Other African Languages
    • View Item
    •   Maseno IR Home
    • Journal Articles
    • School of Arts and Social Sciences
    • Department of Kiswahili & Other African Languages
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Uhakiki linganishi wa taarifa muhimu kuhusu vidahizo katika kamusi ya karne ya 21 na kamusi ya Kiswahili sanifu

    Thumbnail
    View/Open
    administrator,+Journal+manager,+Okal (1).pdf (674.3Kb)
    Publication Date
    2024-04-11
    Author
    Okal, Benard Odoyo
    Metadata
    Show full item record
    Abstract/Overview
    Kamusi kadhaa wahidiya (za lugha moja) za Kiswahili kama vile Kamusi ya Kiswahili Sanifu toleo la kwanza, pili na tatu, zimewahi kutungwa kutokana na juhudi za Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI) inayojulikana sasa kama Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) ili kusaidia mafunzo ya Kiswahili na taaluma ya leksikografia katika taasisi kadhaa za elimu. Kamusi nyingi wahidiya za Kiswahili zimetungwa kwa kutumia mitindo anuwai ya utoaji maelezo ya taarifa muhimu za vidahizo husika licha ya kwamba kuna lugha kienzo maalum ya kuzingatiwa katika kuwasilisha taarifa hizo za vidahizo. Hivyo basi, makala haya yanahakiki kiulinganifu wa taarifa muhimu kuhusu vidahizo katika Kamusi ya Kiswahili Sanifu toleo la tatu (TUKI, 2013) na Kamusi ya Karne ya 21 (Mdee, Njogu na Shafi, 2011). Uhakikiki linganishi katika makala haya umehusisha masuala anuwai hasa maelezo ya idadi ya vidahizo, mpangilio wa vidahizo, taarifa za kisarufi (tahajia na matamshi, kategoria ya kidahizo, ngeli, uelekezi wa vitenzi, mofolojia hasa minyambuliko ya vidahizo, maana na matumizi ya vidahizo katika miktadha anuwai) pamoja na vipengee vingine vya lugha kienzo ya msimbo kwa mujibu wa taaluma ya leksikografia.
    Permalink
    https://repository.maseno.ac.ke/handle/123456789/6126
    Collections
    • Department of Kiswahili & Other African Languages [38]

    Maseno University. All rights reserved | Copyright © 2022 
    Contact Us | Send Feedback

     

     

    Browse

    All of Maseno IRCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Statistics

    View Usage Statistics

    Maseno University. All rights reserved | Copyright © 2022 
    Contact Us | Send Feedback