Search
Now showing items 1-10 of 12
Rhetorical questions as an off-record politeness strategy in language use among the Bukusu.
(Royallite Global, Kenya., 2021)
This paper sought to discuss rhetorical questions as an off- record politeness strategy with the aim of determining the context and reasons for their use in communication. It focused on language use amongst users of Bukusu ...
Nafasi ya Fasihi Katika Kuwasilisha Masuala ya Mazingira Kupitia Riwaya Teule Tikitimaji (2013) na Msimu wa Vipepeo (2006) za KW Wamitila
(East African Journal of Swahili Studies, 2020)
Suala la mabadiliko ya hali ya anga ni janga linaloendelea kukumba ulimwengu kwa jumla. Kutokuwepo kwa usawazishaji wa ekolojia ni jambo ambalo linawatia shaka adinasi wengi. Fasihi ni kioo cha jamii na inapaswa kuwasilisha ...
A study of terrorism discourse in taifaleo newspaper of Kenya
(MCSER-CEMAS-Sapienza University of Rome, 2021)
Terrorism is a global concern and usually elicits a lot of sensationalism every time it occurs. The media often finds itself in the
middle of debates over this issue. Apart from the role of informing the public, the media ...
Mifumo ya Kijamii katika Tamthilia Teule za Kiswahili
(2020)
Mifumo ya kijamii inajitokeza waziwazi katika fasihi andishi ya Kiswahili. Mifumo hiyo huwakilisha matukio ya fasihi andishi na jinsi yanavyoichora na kwa mapana kuwa kioo cha jamii. Tafiti nyingi zilizofanywa zinahusu ...
KenSwQuAD--A Question Answering Dataset for Swahili Low Resource Language
(arXiv preprint, 2022)
This research developed a Kencorpus Swahili Question Answering Dataset KenSwQuAD from
raw data of Swahili language, which is a low resource language predominantly spoken in
Eastern African and also has speakers in other ...
Uamilifu wa Kiswahili na Kibukusu katika Mawanda ya Kimatumizi kwenye Kaunti ya Bungoma
(Jarida la Afrika Mashariki la Masomo ya Kiswahili, 2022)
Lugha ni chombo maalum katika ustawishaji na uimarishaji wa rasilimali za mwanadamu. Pia, ni wenzo unaohimili sera ambazo hulenga katika kutimiza matarajio ya kitaifa katika nchi yoyote ile. Nchini Kenya, vipengele katika ...
Athari za Kimofosintaksia za Ngeli za Luganda katika Matumizi ya Kiswahili Sanifu Miongoni mwa Wanafunzi Shuleni, Uganda
(Jarida la Afrika Mashariki la Masomo ya Kiswahili, 2021)
Makala hii inaonesha athari za kimofosintaksia za ngeli za Luganda katika matumizi ya Kiswahili sanifu. Makala hii inatokana na kuwa, Luganda na Kiswahili huainisha ngeli kutumia mfumo mmoja na matumizi yake kuzingatia ...
Mitindo ya Lugha Inayomsawiri Mwanamke Kiongozi katika Tamthilia za Pango (2003) na Kigogo (2016)
(University of Dar es salaam, 2021)
Tafiti nyingi zilizofanywa kumhusu mhusika mwanamke katika tamthilia za Kiswahili zilimsawiri mwanamke kwa ujumla bila kuangazia uongozi wake. Chache zilizoshughulikia mwanamke kiongozi zimefanya hivi bila kuangazia mitindo ...
Phonemic Representation and Transcription for Speech to Text Applications for Under-resourced Indigenous African Languages: The Case of Kiswahili
(Arxiv.org, 2022)
Building automatic speech recognition (ASR) systems is a challenging task, especially for under resourced languages that need to construct corpora nearly from scratch and lack sufficient training
data. It has emerged ...
Nafasi ya Ikolojia ya Lugha katika Mtagusano wa Kiswahili na Kibukusu katika Mawanda ya Dini katika Kaunti ya Bungoma
(EAST AFRICANNATURE & SCIENCEORGANIZATION, 2023-03-27)
Nyanja mbalimbali katika jamii hutegemea matumizi ya lugha. Hali hii huzua changamoto ya namna ya kutumia raslimali za lugha zinazopatikana katika jamiilugha fulani. Juhudi ya kufahamu na kutagusana na ulimwengu huhitaji ...